Latest
Loading...

Motorcycles

Electric Cars

Featured Post

Nissan Dualis Review, For Sale, Models, Specs & News

The Nissan Dualis was a mid-size SUV which arrived locally in 2008. The Dualis name is a reference to its intended ability to sit between ...

Waziri Charles Kitwanga na MAGARI YA ZIMA MOTO...

 Waziri Charles Kitwanga na MAGARI YA ZIMA MOTO...
Leo Waziri wa Mambo ya ndani Charles Kitwanga alitembelea ofisi za zimamoto na kujionea changamoto mbalimbali zinazolikabili jeshi la uokoaji.
Uhaba wa vifaa..”Kuna haja ya kutafuta maeneo mengine ya kuweka vifaa, hali ya eneo ya kuhifadhia vifaa halijabadilika, Ni kweli bajeti ni ndogo lakini nimeongea na uongozi kuhakikisha wanakusanya mapato ili kupata vifaa vya kutosha“..
Adhabu kwa madereva wasioheshimu magari ya zimamoto...”Sasa hivi tunajenga barabara za mabasi yaendayo kasi, tutarahisisha wenzetu wa zimamoto waweze kupita sehemu hiyohiyo ili waweze kufika haraka kwenye tukio..Madereva wawe wepesi wa kupisha magari yanayokwenda kwenye dharura, yawe ya wagonjwa ama yale ya zima moto na wale wanaokiuka wachukuliwe sheria kali…Kitwanga
Mipango ya kupata vifaa vya kisasa…“Katika viwanja vya ndege tuna magari ya zimamoto ya kisasa sana, tuhakikishe tunajipanga vizuri kuhakikisha tunapata vifaa imara na vya kisasa zaidi“..

No comments:

Post a Comment